FAHAMU HATUA ZA UKUAJI WA MBWA NA HUDUMA MUHIMU HATUA KWA HATUA ✅ 1-4 Wiki *⃣Macho na masikio hufungua siku ya 10. *⃣Siku ya 15 mbwa anaweza kusimama. *⃣Siku ya 20 mbwa anaanza kujifunza kutembea. Watoto bado wanahitaji sana kuwa karibu na mama. *⃣Kwa Kawaida hata kama puppy mbwa mtoto ana afya. Chukua mtalamu wa mifugo siku ya 1 au 2 ili aangalie matatizo ya kuzaliwa. *⃣Mikia inaweza kukatwa katika umri huu. kucha zinaweza kukatwa pia *⃣Puppy mbwa mtoto anajifunza kuwa na uhusiano na mama na mahusiano ya karibu na wengine baadaye.
_UFANISI WA KUKU_ Fahamu kuwa, kwa kawaida kuku hunyonyoka manyoya na kuota manyoya mapya katika vipindi tofauti vya ukuaji wa kuku. *_Moulting_* Kunyonyoka manyoya na kubadilisha manyoya mapya hutokea kuku akiwa na umri wa kianzia wiki ya 4-5, wiki ya 8, Wiki ya 13, Wiki ya 20. Pia angalau mara moja kwa kila mwaka akifikia umri wa utagaji. Visababishi vingine vinavyochangia kunyonyoka manyoya na kuota manyoua mapya ni pamoja na _mabadiliko na upungufu wa chakula, mabadiliko ya kimsimu ya hali ya hewa, mabadiliko ya ghafla ya mwanga_ n.k Tambua kuwa kunyonyoka manyoya kunaweza kuathiri ufanisi wa kuku katika ukuaji/kuongezeka uzito na utagaji, hivyo unashauriwa kufanya yafuatayo, _1. Punguza stress kwa kuku._ _2. Tumia chakula bora chenye protein ya kutosha._ _3. Epuka mabadiliko ya ghafla kwenye mwanga, chakula n.k._ ●By Dr Riziki Ngogo 0763222500 #ReSta AgroVET #FARMERS Platform # INTERCHICK- ...