UFUGAJI NI MAARIFA *poultry farming* 🐓🐓🐓🐓🐓🐓 ❓ *Question#* How do we clean and disinfect poultry house? *Answer#* 🐓You only disinfect a poultry house after thorough washing(abiding by the procedures of removing equipments like waterer, feeders and feed remains) removal of dust,start washing by use of plain water from the roof,wall and floor, then wash using a disinfectant like______. 🐓Placement of Chicken is done after 2weeks pending on how strong disinifectant is as advised. *More information* AfyaMIFUGO Tz afyamifugo.blogspot.com afyamifugo@gmail.com 0763222500 Dr NgogoR *for all your Animal care needs and Veterinary services*
_UFANISI WA KUKU_ Fahamu kuwa, kwa kawaida kuku hunyonyoka manyoya na kuota manyoya mapya katika vipindi tofauti vya ukuaji wa kuku. *_Moulting_* Kunyonyoka manyoya na kubadilisha manyoya mapya hutokea kuku akiwa na umri wa kianzia wiki ya 4-5, wiki ya 8, Wiki ya 13, Wiki ya 20. Pia angalau mara moja kwa kila mwaka akifikia umri wa utagaji. Visababishi vingine vinavyochangia kunyonyoka manyoya na kuota manyoua mapya ni pamoja na _mabadiliko na upungufu wa chakula, mabadiliko ya kimsimu ya hali ya hewa, mabadiliko ya ghafla ya mwanga_ n.k Tambua kuwa kunyonyoka manyoya kunaweza kuathiri ufanisi wa kuku katika ukuaji/kuongezeka uzito na utagaji, hivyo unashauriwa kufanya yafuatayo, _1. Punguza stress kwa kuku._ _2. Tumia chakula bora chenye protein ya kutosha._ _3. Epuka mabadiliko ya ghafla kwenye mwanga, chakula n.k._ ●By Dr Riziki Ngogo 0763222500 #ReSta AgroVET #FARMERS Platform # INTERCHICK- ...