BONYEZA HAPA KUONA BIDHAA ZINGINE Kwanini mbolea ya Booster? Booster ni mbolea kamili ya mimea iliyo na virutubishi vyote muhimu kwa ukuaji wa mmea wenye afya na mavuno bora. Imetengenzwa maalumu ili kuweza kufyonzwa haraka kupitia majani ya mmea. BONYEZA HAPA KUONA BIDHAA ZINGINE Why Booster Fertilizer? Booster is a complete foliar fertilizer containing all the major macro and microelements essential to healthy plant growth and optimum yields. Booster formulated for rapid absorption through the leaves. BONYEZA HAPA KUONA BIDHAA ZINGINE
_UFANISI WA KUKU_ Fahamu kuwa, kwa kawaida kuku hunyonyoka manyoya na kuota manyoya mapya katika vipindi tofauti vya ukuaji wa kuku. *_Moulting_* Kunyonyoka manyoya na kubadilisha manyoya mapya hutokea kuku akiwa na umri wa kianzia wiki ya 4-5, wiki ya 8, Wiki ya 13, Wiki ya 20. Pia angalau mara moja kwa kila mwaka akifikia umri wa utagaji. Visababishi vingine vinavyochangia kunyonyoka manyoya na kuota manyoua mapya ni pamoja na _mabadiliko na upungufu wa chakula, mabadiliko ya kimsimu ya hali ya hewa, mabadiliko ya ghafla ya mwanga_ n.k Tambua kuwa kunyonyoka manyoya kunaweza kuathiri ufanisi wa kuku katika ukuaji/kuongezeka uzito na utagaji, hivyo unashauriwa kufanya yafuatayo, _1. Punguza stress kwa kuku._ _2. Tumia chakula bora chenye protein ya kutosha._ _3. Epuka mabadiliko ya ghafla kwenye mwanga, chakula n.k._ ●By Dr Riziki Ngogo 0763222500 #ReSta AgroVET #FARMERS Platform # INTERCHICK- ...