Trichinella spiralis. MINYOO HATARI KWA BINADAMU, HATARI KWA WANYAMA Trichinella spiralis ni minyoo aina ya nematode inayopatikana kwenye panya, nguruwe, fisi na wanadamu, na inasababisha ugonjwa wa trichinosis. Wakati mwingine huitwa "minyoo ya nguruwe" kwa sababu mara nyingi hupatikana kwenye nyama ya nguruwe, na binadamu anaweza kuipata minyoo hio kwa kula nyama ya nguruwe mwenye minyoo ambaye haijaivishwa vizuri. USHAURI. Mfugaji wa nguruwe hakikisha unafuga nguruwe kwa kufuata taratibu za afya ya mifugo wape dawa ya minyoo nguruwe wako kwa wakati. Muuzaji wa nyama ya nguruwe hakikisha unauza nyama iliyopimwa na wataalamu wa afya ya mifigo (Meat Inspectors) Pia Wanunuzi wa nguruwe hakikisha unanunua nguruwe mwenye afya nzuri aliyefanyiwa uchunguzi na Daktari wa mifugo ili kuweza kupata nguruwe wa nyama asiyekuwa na minyoo. Wataalamu wa mofugo hakikisha nyama ya nguruwe inayouzwa katika eneo lako imepimwa na mkaguzi wa nyama. Linda Afya ya Mifugo Linda A...
JIPATIE MITAMBA BORA YA NG'OMBE WA MAZIWA Umri = miaka 2 Heifer Hali yake mwa sasa= Hana mimba Aina = Friesian Uzalishaji wa maziwa= Mama ana Record nzuri Mawasiliano Simu 0763222500 Email afyamifugo@gmail.com UNGANA NASI ZAIDI KUPITIA http://www.instagram.com/farmers_platform/ http://www.facebook.com/farmersplatform/ http://www.afyamifugo.blogspot.com/ https://farmersplatform.site123.me/