Sungura Aina ya CHINCHILLA ni Aina ya sungura wapole na watulivu wenye sifa zifuatazo. ■Wanafugika vizuri ■Wapole na wavumilivu ■Wanauwezo wa kuzaa watoto 6-9 ■Wana rangi ya kijivu iliyokolea ■Wanakua haraka ■Wanauwezo mkubwa wa kulea watoto ■Wanaweza kutumika kwa nyama, manyoya, Mkojo wao na kinyesi chao na kama pambo nyumbani. Wanaweza kuishi kwa miaka 5-8 ■Wastani wa uzito wao wakiwa wakubwa kilo 4- 5.5Kg. Jifunze zaidi kila siku kupitia kurasa zetu http://www.afyamifugo.blogspot.com/ http://www.facebook.com/farmersplatform/ http://www.instagram.com/farmers_platform/ KARIBU UJIPATIE SUNGURA BORA NA HUDUMA BORA ZA KITAALAM. Dr NgogoR 0763222500 Farmers Platform PATA MAARIFA FUGA TAJIRIKA ~SHARE NA WAFUGAJI WENZAKO~
_UFANISI WA KUKU_ Fahamu kuwa, kwa kawaida kuku hunyonyoka manyoya na kuota manyoya mapya katika vipindi tofauti vya ukuaji wa kuku. *_Moulting_* Kunyonyoka manyoya na kubadilisha manyoya mapya hutokea kuku akiwa na umri wa kianzia wiki ya 4-5, wiki ya 8, Wiki ya 13, Wiki ya 20. Pia angalau mara moja kwa kila mwaka akifikia umri wa utagaji. Visababishi vingine vinavyochangia kunyonyoka manyoya na kuota manyoua mapya ni pamoja na _mabadiliko na upungufu wa chakula, mabadiliko ya kimsimu ya hali ya hewa, mabadiliko ya ghafla ya mwanga_ n.k Tambua kuwa kunyonyoka manyoya kunaweza kuathiri ufanisi wa kuku katika ukuaji/kuongezeka uzito na utagaji, hivyo unashauriwa kufanya yafuatayo, _1. Punguza stress kwa kuku._ _2. Tumia chakula bora chenye protein ya kutosha._ _3. Epuka mabadiliko ya ghafla kwenye mwanga, chakula n.k._ ●By Dr Riziki Ngogo 0763222500 #ReSta AgroVET #FARMERS Platform # INTERCHICK- ...